Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi akutana na Wamiliki wa Mabenki Nchini ili kuzitambua Hati Miliki za Ardhi za Kimila katika kutoa mikopo kwa Wakulima, wajenzi na Wajasiliamali leo jijini Dar es salaam katika ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT).
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi (Mb), akitoa hotuba ya utekelezaji wa bajeti ya wizara kwa mwaka 2015/16 na makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2016/17 kwenye Kamati ya kudumu ya Bunge ya ardhi, Maliasili na Utalii.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; William Lukuvi (Mb) ametangaza rasmi mwisho wa kutumia Makampuni ya nje katika kazi za kuandaa Master plan
Ushiriki wa Wizara ya Ardhi katika Annual World Bank Conference on Land and Poverty uliofanyika Washington DC tarehe 14-18 Machi 2016
Wamiliki wa Hoteli ya kitalii ya Golden Tulip iliyopo Masaki jijini Dar es Salaam wamekubaliana na uamuzi wa Serikali wa kukifuta rasmi Kiwanja namba 2048 ambacho awali walikimiliki
Mkurugenzi wa Upimaji na Ramani Bw. Justo Lyamuya akizungumza na waandishi wa habari juu ya taratibu za upimaji ardhi nchini. Kushoto ni Katibu wa Baraza la Upimaji na Uthamini wa Wizara hiyo Bw. Nassor Duduma.
© 2023 All Rights Reserved.
Site Map
Staff Mail
Designed and Developed bylbl_ega_nam (e-GA) and Contents Managed by Ministry of Lands, Housing and Human Settlements Development