TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU HATUA YA KAZI YA MKAKATI WA UTOZAJI WA FAINI KWA WAMILIKI WA ARDHI WALIOKIUKA MASHARTI YA UENDELEZAJI NA ULIPAJI KODI YA PANGO LA ARDHI
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi akutana na Wamiliki wa Mabenki Nchini ili kuzitambua Hati Miliki za Ardhi za Kimila katika kutoa mikopo kwa Wakulima, wajenzi na Wajasiliamali leo jijini Dar es salaam katika ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT).
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi (Mb), akitoa hotuba ya utekelezaji wa bajeti ya wizara kwa mwaka 2015/16 na makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2016/17 kwenye Kamati ya kudumu ya Bunge ya ardhi, Maliasili na Utalii.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; William Lukuvi (Mb) ametangaza rasmi mwisho wa kutumia Makampuni ya nje katika kazi za kuandaa Master plan