Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Ageline Mabula amewataka wananchi kuipa kipaumbele sekta ya ardhi kwa kuwa sekta hiyo ikitumiwa vizuri itawezesha kuchochea mapinduzi kichumi.
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi Maliasili na Utalii imeipongeza Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa kufanikisha kuandaliwa Mpango wa Matumizi ya Ardhi pamoja na upimaji ardhi kwenye vijiji vya Ntondo na Nkwea vilivyopo halmashauri ya wilaya ya Singida katika mkoa wa Singida.
Wakati Serikali ya Awamu ya Sita kitimiza mwaka mmoja Machi 19, 2022 Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula ameanika mafanikio ya serikali hiyo katika kipindi cha mwaka mmoja
Aliyekuwa Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amemkabidhi Ofisi aliyekuwa Naibu wake Dkt Angeline Mabula ambaye sasa ni Waziri wa Wizara hiyo.
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Ridhiwani Kikwete amesema Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imedhamiria kuendelea na ujenzi wa miradi ya Shirika la Nyumba la Taifa iliyosimama.
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amesema wizara yake itaanza ukaguzi na kuyatambua maeneo yote yaliyotengwa kwa ajili ya uwekezaji nchini.
© 2023 All Rights Reserved.
Site Map
Staff Mail
Designed and Developed bylbl_ega_nam (e-GA) and Contents Managed by Ministry of Lands, Housing and Human Settlements Development